1 Peter 3:10-12

10 aKwa maana, “Yeyote apendaye uzima
na kuona siku njema,
basi auzuie ulimi wake usinene mabaya,
na midomo yake isiseme hila.

11 bMtu huyo lazima aache uovu, akatende mema;
lazima aitafute amani na kuifuatilia sana.

12 cKwa maana macho ya Bwana
huwaelekea wenye haki,
na masikio yake yako makini
kusikiliza maombi yao.
Bali uso wa Bwana uko kinyume
na watendao maovu.”

Kuvumilia Mateso

Copyright information for SwhKC